Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Modifying: bg:Огюст Бернарт |
dNo edit summary |
||
Mstari 3: | Mstari 3: | ||
'''Auguste Marie Francois Beernaert''' ([[26 Julai]], [[1829]] – [[6 Oktoba]], [[1912]]) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya [[Ubelgiji]]. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa [[Waziri Mkuu]] na [[Waziri wa Fedha]]. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa [[The Hague]] mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa [[1909]], pamoja na [[Paul d’Estournelles]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] kwa Amani'''. |
'''Auguste Marie Francois Beernaert''' ([[26 Julai]], [[1829]] – [[6 Oktoba]], [[1912]]) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya [[Ubelgiji]]. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa [[Waziri Mkuu]] na [[Waziri wa Fedha]]. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa [[The Hague]] mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa [[1909]], pamoja na [[Paul d’Estournelles]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] kwa Amani'''. |
||
[[Category:Wanasiasa|B]] |
[[Category:Wanasiasa wa Ubelgiji|B]] |
||
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani|B]] |
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani|B]] |
||
Pitio la 12:05, 30 Novemba 2006
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |