Anatomia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sah:Анатомия |
d roboti Nyongeza: ast:Anatomía |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
[[ar:تشريح]] |
[[ar:تشريح]] |
||
[[arz:تشريح]] |
[[arz:تشريح]] |
||
[[ast:Anatomía]] |
|||
[[az:Anatomiya]] |
[[az:Anatomiya]] |
||
[[bat-smg:Anatuomėjė]] |
[[bat-smg:Anatuomėjė]] |
Pitio la 12:17, 5 Januari 2009
Anatomia (kutoka Kigiriki ἀνατέμνειν anatemein - kupasua, kufungua) ni elimu ya miili ya viumbehai kama binadamu, wanyama na mimea. Inachungulia muundo na maumbile ya mwili na sehemu au viungo vyake.
Wataalamu wa anatomia hufungua mwili na kuikata kwa sehemu zake kwa kusudi la kuongeza elimu ya muundo wake.
Elimu hii inasaidia kuelewa magonjwa, sababu na matokeo yao. Ni pia msingi wa mafundisho ya tiba na elimu ya matibabu.
Tazama pia
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |