Arusha : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: sv:Arusha
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Arusha''' ni neno la kutaja watu na mahali katika [[Tanzania]] kazkazini-mashariki:
''Kwa matumizi tofauti ya neno "Arusha" tazama [[Arusha (maana)]]''
*Kabila la [[Waarusha]]
[[Image:Arusha_Clocktower.jpg|thumb|right|Mji wa Arusha]]
*[[Mkoa wa Arusha]]
[[Image:Arusha.jpg|thumb|right|Arusha na mlima wa Meru]]
*[[Wilaya ya Arusha]]
*[[Arusha (mji)|Mji wa Arusha]] ni makao makuu ya mkoa na wilaya, pia makao makuu ya [[Jumuiya ya Afrika ya Mashariki]]


{{maana}}
'''Mji wa Arusha''' ni kati ya miji kumi mikubwa ya Tanzania. Kuna wakazi 341,155 (mw. 2005 – kutoka mn. 50,000 mw. 1970). Eneo lake ni 1400m juu ya [[uwiano wa bahari]] likiwa karibu na mlima wa [[Meru]] (4565m). Utalii na kilimo ni mgongo wa uti wa uchumi. Kwa sababu ya idadi kubwa ya watalii mji umepachikwa jina la “Dar-es-Safari”. Kuna pia viwanda muhimu vya kahawa, kusaga nafaka, kusafisha ukonge, kukuza maua za kuleta nje, pombe ya bia.


[[Category:Tanzania]]
Arusha ina nafasi muhimu katika [[Historia ya Tanzania]] na Afrika. Mji umeanzishwa na [[Wajerumani]] mnamo mw. 1899. Ndipo hapo ya kwamba wakoloni Waingereza walitoa sahihi hati ya kuitolea Tanganyika uhuru mw. 1961. Mw. 1967 chama tawala cha [[TANU]] kiliunga mkono Tamko la Arusha lililoanzisha kipindi cha [[Ujamaa]]. Kuanzia mw. 1967 hadi mw. 1977 Arusha ndipo makao makuu ya [[Jumuiya ya Afrika Mashariki]] hadi kuanguka kwa umoja huu. Tangu mw. 1995 Mahakama ya Kimataifa ya Ruanda ina makao hapo. Arusha ni makao makuu ya [[KKKT]], ambayo ni ofisi kuu ya [[Kanisa la Kiinjili Kiluteri Tanzania]].

==Viungo vya nje==
* {{en}} [http://www.ntz.info/gen/b00864.html Historia ya Arusha]

[[Category:Miji ya Tanzania]]

[[af:Arusha]]
[[de:Arusha]]
[[en:Arusha]]
[[es:Arusha]]
[[fa:آروشا]]
[[fi:Arusha]]
[[fr:Arusha]]
[[gl:Arusha]]
[[ja:アルーシャ]]
[[nl:Arusha]]
[[pl:Arusha]]
[[sv:Arusha]]

Pitio la 21:29, 7 Oktoba 2006

Arusha ni neno la kutaja watu na mahali katika Tanzania kazkazini-mashariki:

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.