Arusha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: sv:Arusha |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Arusha''' ni neno la kutaja watu na mahali katika [[Tanzania]] kazkazini-mashariki: |
|||
''Kwa matumizi tofauti ya neno "Arusha" tazama [[Arusha (maana)]]'' |
|||
*Kabila la [[Waarusha]] |
|||
[[Image:Arusha_Clocktower.jpg|thumb|right|Mji wa Arusha]] |
|||
⚫ | |||
[[Image:Arusha.jpg|thumb|right|Arusha na mlima wa Meru]] |
|||
⚫ | |||
*[[Arusha (mji)|Mji wa Arusha]] ni makao makuu ya mkoa na wilaya, pia makao makuu ya [[Jumuiya ya Afrika ya Mashariki]] |
|||
{{maana}} |
|||
'''Mji wa Arusha''' ni kati ya miji kumi mikubwa ya Tanzania. Kuna wakazi 341,155 (mw. 2005 – kutoka mn. 50,000 mw. 1970). Eneo lake ni 1400m juu ya [[uwiano wa bahari]] likiwa karibu na mlima wa [[Meru]] (4565m). Utalii na kilimo ni mgongo wa uti wa uchumi. Kwa sababu ya idadi kubwa ya watalii mji umepachikwa jina la “Dar-es-Safari”. Kuna pia viwanda muhimu vya kahawa, kusaga nafaka, kusafisha ukonge, kukuza maua za kuleta nje, pombe ya bia. |
|||
⚫ | |||
Arusha ina nafasi muhimu katika [[Historia ya Tanzania]] na Afrika. Mji umeanzishwa na [[Wajerumani]] mnamo mw. 1899. Ndipo hapo ya kwamba wakoloni Waingereza walitoa sahihi hati ya kuitolea Tanganyika uhuru mw. 1961. Mw. 1967 chama tawala cha [[TANU]] kiliunga mkono Tamko la Arusha lililoanzisha kipindi cha [[Ujamaa]]. Kuanzia mw. 1967 hadi mw. 1977 Arusha ndipo makao makuu ya [[Jumuiya ya Afrika Mashariki]] hadi kuanguka kwa umoja huu. Tangu mw. 1995 Mahakama ya Kimataifa ya Ruanda ina makao hapo. Arusha ni makao makuu ya [[KKKT]], ambayo ni ofisi kuu ya [[Kanisa la Kiinjili Kiluteri Tanzania]]. |
|||
==Viungo vya nje== |
|||
* {{en}} [http://www.ntz.info/gen/b00864.html Historia ya Arusha] |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[en:Arusha]] |
|||
[[es:Arusha]] |
|||
[[fa:آروشا]] |
|||
[[fi:Arusha]] |
|||
[[fr:Arusha]] |
|||
[[gl:Arusha]] |
|||
[[ja:アルーシャ]] |
|||
[[nl:Arusha]] |
|||
[[pl:Arusha]] |
|||
[[sv:Arusha]] |
Pitio la 21:29, 7 Oktoba 2006
Arusha ni neno la kutaja watu na mahali katika Tanzania kazkazini-mashariki:
- Kabila la Waarusha
- Mkoa wa Arusha
- Wilaya ya Arusha
- Mji wa Arusha ni makao makuu ya mkoa na wilaya, pia makao makuu ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki