Boris Leonidovich Pasternak : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: it:Boris Leonidovič Pasternak |
d roboti Nyongeza: sq:Boris Pasternak |
||
Mstari 54: | Mstari 54: | ||
[[sk:Boris Leonidovič Pasternak]] |
[[sk:Boris Leonidovič Pasternak]] |
||
[[sl:Boris Leonidovič Pasternak]] |
[[sl:Boris Leonidovič Pasternak]] |
||
[[sq:Boris Pasternak]] |
|||
[[sr:Борис Пастернак]] |
[[sr:Борис Пастернак]] |
||
[[sv:Boris Pasternak]] |
[[sv:Boris Pasternak]] |
Pitio la 18:36, 2 Novemba 2008
Boris Leonidovich Pasternak (10 Februari, 1890 – 30 Mei, 1960) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Urusi. Ingawa aliandika mashairi kwa ujumla, anajulikana hasa kwa riwaya yake "Daktari Zhivago" iliyotolewa mwaka wa 1956. Mwaka wa 1958 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi lakini aliikataa kwa sababu ya upinzani katika nchi yake.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |