Tsung-Dao Lee : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ht:Tsung-Dao Lee
Mstari 30: Mstari 30:
[[ja:李政道]]
[[ja:李政道]]
[[lv:Li Džendao]]
[[lv:Li Džendao]]
[[mr:त्सुंग-दाओ ली]]
[[nl:Tsung-Dao Lee]]
[[nl:Tsung-Dao Lee]]
[[no:Tsung-Dao Lee]]
[[no:Tsung-Dao Lee]]

Pitio la 18:06, 17 Oktoba 2008

Faili:TD Lee-med.jpg
Tsung-Dao Lee

Tsung-Dao Lee (amezaliwa 25 Novemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Chen Ning Yang alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.