Tsung-Dao Lee : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: eo:Tsung-Dao Lee
d roboti Nyongeza: uk:Лі Цзундао
Mstari 38: Mstari 38:
[[sv:Tsung-Dao Lee]]
[[sv:Tsung-Dao Lee]]
[[tr:Tsung-Dao Lee]]
[[tr:Tsung-Dao Lee]]
[[uk:Лі Цзундао]]
[[zh:李政道]]
[[zh:李政道]]

Pitio la 04:19, 22 Agosti 2008

Faili:TD Lee-med.jpg
Tsung-Dao Lee

Tsung-Dao Lee (amezaliwa 25 Novemba, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Chen Ning Yang alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.