Arno Penzias : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: vi:Arno Allan Penzias
Mstari 37: Mstari 37:
[[tr:Arno Allan Penzias]]
[[tr:Arno Allan Penzias]]
[[uk:Пензіас Аріо Аллан]]
[[uk:Пензіас Аріо Аллан]]
[[vi:Arno Allan Penzias]]
[[zh:阿诺·彭齐亚斯]]
[[zh:阿诺·彭齐亚斯]]

Pitio la 12:35, 19 Juni 2008

Arno Allan Penzias (amezaliwa 26 Aprili, 1933) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa nchini Ujerumani. Hasa alichunguza mnururisho wa nyota. Mwaka wa 1978, pamoja na Robert Woodrow Wilson na Pyotr Kapitsa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.