Tsung-Dao Lee : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
 
Mstari 11: Mstari 11:
[[en:Tsung-Dao Lee]]
[[en:Tsung-Dao Lee]]
[[es:Tsung-Dao Lee]]
[[es:Tsung-Dao Lee]]
[[id:Tsung-Dao Lee]]
[[fr:Tsung-Dao Lee]]
[[hu:Tsung-Dao Lee]]
[[hu:Tsung-Dao Lee]]
[[id:Tsung-Dao Lee]]
[[it:Tsung-Dao Lee]]
[[ja:李政道]]
[[ja:李政道]]
[[no:Tsung-Dao Lee]]
[[no:Tsung-Dao Lee]]

Pitio la 03:44, 9 Julai 2006

Tsung-Dao Lee (amezaliwa 25 Novemba 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Chen Ning Yang alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.