Kaizari Macrinus : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: zh:马克里努斯 |
d roboti Badiliko: mr:मॅक्रिनस |
||
Mstari 31: | Mstari 31: | ||
[[la:Macrinus]] |
[[la:Macrinus]] |
||
[[lt:Makrinas]] |
[[lt:Makrinas]] |
||
[[mr:मॅक्रिनस |
[[mr:मॅक्रिनस]] |
||
[[nl:Macrinus]] |
[[nl:Macrinus]] |
||
[[no:Macrinus]] |
[[no:Macrinus]] |
Pitio la 00:27, 26 Machi 2008
Marcus Opellius Macrinus (takriban 165 – Juni 218) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 11 Aprili, 217 hadi tarehe 8 Juni, 218. Alimfuata Caracalla. Kabla Macrinus hajafa, mpwa wa Caracalla, Elagabalus alitangazwa kuwa Kaizari tarehe 18 Mei. Alimshinda Macrinus katika pigano la vita tarehe 8 Juni, na Macrinus aliuawa kisheria baadaye kidogo.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |