Kwanza (sarafu) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: es:Kwanza angolano |
d roboti Ondoa: lmo:Kwanza Angolà |
||
Mstari 29: | Mstari 29: | ||
[[it:Kwanza angolano]] |
[[it:Kwanza angolano]] |
||
[[ja:クワンザ]] |
[[ja:クワンザ]] |
||
[[lmo:Kwanza Angolà]] |
|||
[[nl:Kwanza (munteenheid)]] |
[[nl:Kwanza (munteenheid)]] |
||
[[no:Kwanza]] |
[[no:Kwanza]] |
Pitio la 15:16, 28 Februari 2008
Makala hii yahusu pesa ya Angola. Kuhusu mto Kwanza angalia Kwanza (mto).
Kwanza (kifupi: KZ) ni pesa inayotumika kwa malipo halali katika nchi ya Angola. Wakati wa uhuru Angloa imerithi pesa ya escudo kutoka Ureno. Mwaka 1977 Kwanza yenye 100 Lwei imeingizwa nchini kama pesa ya kwanza ya kitaifa. Kutokana na kushuka kwa thamani ya fedha mara kwa mara pesa ya Kwanza imebadilishwa mara nne tangu 1977:
- 1977 Kwanza
- 1977 Kwanza Novo (Kwanza Mpya)
- 1995 Kwanza Reajustado (Kwanza iliyosahihishwa)
- 1999 Kwanza (Kwanza Reajustado milioni moja zilibadilishwa kuwa Kwanza 1 mpya)
Sarafu za centavos 10 na 50 hazipatikani kwani hazinunui kitu tena.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |