Lisa Castel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lisa Caste
Amezaliwa 22 Disemba 1955
Quela Angola
Kazi yake Mwanahabari/mwandishi


Lisa Castel (alizaliwa mnamo 22 Desemba mwaka 1955 huko Quela, Malanje Province) ni Mwanahabari na Mwandishi wa nchini Angola.

Kulingana na Luís Kandjimbo, Castel ni mwana kikundi wa waandishi wa kike wa kisasa huko Angola kama vile Ana Paula Tavares, Amélia da Lomba na Ana de Santana, ambaye anamtaja kama "Kizazi cha kutokuwa na uhakika" ("Geração das Incertezas"), waandishi ambao kwa kawaida huonyesha uchungu katika kazi zao, wakionyesha kukatishwa tamaa na hali ya kisiasa na kijamii nchini humo. [1]

Castel amefanya kazi kwa "Jornal de Angola" na jarida la "Archote . Yeye ndiye mwandishi wa mkusanyiko wa mashairi "Mukanda", iliyochapishwa mnamo mwaka 1988.[2]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

  • "Mukanda", Luanda, Angola: União dos Escritores Angolanos, 1988.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Amélia Dalomba (Portuguese). Infopedia.pt. Iliwekwa mnamo 5 October 2014.
  2. Lisa Castel (Portuguese). Infopedia.pt. Iliwekwa mnamo 5 October 2014.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lisa Castel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.