Leigh Ashton

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Leigh akiwa amesimama na rekodi zake

Leigh Ashton (alizaliwa 11 Aprili 1956 huko Manchester, Uingereza) ni mwimbaji wa Afrika Kusini, mtunzi wa nyimbo, mpiga kinanda na mwigizaji kutoka Johannesburg, Afrika Kusini.

Ashton alizaliwa huko Manchester, Uingereza, tarehe 11 Aprili 1956 na kuhamia nchini Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka mitatu.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Ashton alijiunga na David Gresham Productions kama mwimbaji na mtunzi wa nyimbo akiwa na umri wa miaka 19. Wimbo wake wa kwanza ulikua "Love Me" ulitolewa mnamo Novemba 1975. Ashton alifanya kazi na baadhi ya wanamuziki bora zaidi nchini wakati huo wakiwemo kina Trevor Rabin, Julian Laxton na Allan Goldswain. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. [The Sunday Express, 28 August 1977, Better Living Supplement, pg 11]
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Leigh Ashton kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.