Lee Kang-in
Mandhari
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/13/Lee_Kang-in_-_2022_%2852551771501%29_%28cropped%29.jpg/224px-Lee_Kang-in_-_2022_%2852551771501%29_%28cropped%29.jpg)
Lee Kang-in (alizaliwa 19 Februari 2001)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Korea Kusini, ambaye anacheza kama kiungo mshambuliaji katika klabu ya Paris Saint-Germain F.C. inayoshiriki Ligue 1 ya Ufaransa na timu ya taifa ya Korea Kusini.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://fdp.fifa.org/assetspublic/ce44/pdf/SquadLists-English.pdf
- ↑ "Lee Kang-In signs for Paris Saint-Germain". EN.PSG.FR (kwa Kiingereza). 2023-07-08. Iliwekwa mnamo 2024-06-17.
![]() |
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lee Kang-in kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |