Kyra Cooney-Cross

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Cooney-Cross mnamo 2023

Kyra Lillee Cooney-Cross (alizaliwa 15 Februari 2002)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Australia ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Arsenal,[2] iliyopo Ligi Kuu ya Wanawake(WSL) na timu ya taifa ya wanawake ya Australia. Hapo awali ameichezea Hammarby IF huko Damallsvenskan, na vile vile Western Sydney Wanderers na Melbourne Victory kwenye W-League.[3][4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Squad list – Women's Olympic Football Tournament Tokyo 2020". Retrieved on 8 July 2021. 
  2. "Team news: Back-to-back starts for Cooney-Cross". Arsenal F.C. 12 November 2023. Iliwekwa mnamo 13 November 2023.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Evans, Kyle. "Kyra turns her attention to 2023 Women's World Cup", The Courier, Ballarat: Australian Community Media, 2020-08-25. (en-AU) 
  4. "Complete preview for each W-League team for season 2017/18". The Daily Telegraph. Sydney: News Corp Australia. 26 October 2017. Iliwekwa mnamo 4 November 2019.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kyra Cooney-Cross kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.