Klay Thompson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Klay Thompson akiwa anachezea timu ya kikapu ya Golden State Warriors mwaka 2016

Klay Alexander Thompson (alizaliwa 8 Februari 1990)[1] ni mchezaji wa mpira wa kikapu kutokea Marekani anayeichezea timu ya Golden State Warriors katika Chama cha taifa cha mpira wa kikapu (NBA).

Inasemekana kwamba Klay ni mmoja kati ya wafungaji bora kwenye kurusha mpira kapuni katika historia ya Chama cha taifa cha mpira wa Kikapu(NBA) huko Marekani. [2] [3] Klay alifanikiwa kushinda mara tatu na timu ya Golden State Warriors tuzo ya timu bora ya Chama cha taifa cha mpira wa kikapu(NBA). Amefanikiwa kuteuliwa katika timu ya mastaa marekani kwa mara tano.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Klay Thompson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.