Kiyitha-Yitha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiyitha-Yitha kilikuwa lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia iliyozungumzwa na Wayitha-Yitha katika majimbo ya New South Wales na Australia Kusini. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea Kiyitha-Yitha, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiyitha-Yitha kiko katika kundi la Lower Murray.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiyitha-Yitha kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.