Kiyawijibaya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la lugha za Kiworrorran barani mwa Australia, rangi ya kizambarau

Kiyawijibaya kilikuwa lugha ya Kiworrorran nchini Australia iliyozungumzwa na Wayawijibaya katika jimbo la Australia Magharibi. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kiyawijibaya ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiyawijibaya kiko katika kundi la Kiworrorran cha Magharibi. Wengine hukiangalia kuwa lahaja ya Kiworrorra.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiyawijibaya kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.