Kiungo (tarakilishi)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kiungo cha Wikipedia.

Katika utarakilishi, kiungo (kwa Kiingereza: hyperlink) ni marejeo ya data ambayo mtumiaji anaweza kubonyeza ili data zionekane.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).