Kits'ün-Lao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kits'ün-Lao ni lugha ya Kitai-Kadai nchini Vietnam inayozungumzwa na Walao. Mwaka wa 1993 idadi ya wasemaji wa Kits'ün-Lao imehesabiwa kuwa watu 10,000. Uainishaji wa lugha ya Kits'ün-Lao kwa ndani zaidi haujulikani.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kits'ün-Lao kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.