Kistari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alama ya kistari.

Kistari (kwa Kiingereza: dash) ni alama ya uakifishaji yenye umbo la mstari.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).