Alama ya uakifishaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Alama za uakifishaji ni alama zinazotumiwa wakati wa kuandika pamoja na herufi. Kazi yao ni msaada wa kuelewa matini vema, na kudokeza maana maalumu ya maneno au sehemu za sentensi na kuonyesha muundo wa sentensi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]