Kisiwa cha Nsenyi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa cha Nsenyi ni kati ya visiwa vya Uganda kusini (Mkoa wa Kati, Wilaya ya Wakiso).

Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa wa eneo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]