Kisiwa cha Hilali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa cha Hilali (kwa Kiingereza: Crescent Island) ni kisiwa cha kaunti ya Nakuru, nchini Kenya.

Kinapatikana katika ziwa Naivasha.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]