Kisiwa Kirefu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisiwa Kirefu (kwa Kiingereza: Long Island) ni kisiwa cha kaunti ya Kajiado, nchini Kenya.

Kinapatikana katika ziwa Magadi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]