Kingston

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kingston ni jina la miji mbalimbali duniani.

Asili ya jina[hariri | hariri chanzo]

Asili ya jina ni Kiingereza "King's Town" yaani "mji wa mfalme". Nchini Uingereza kuanzishwa kwa mji ulihitaji kibali cha mfalme wa nchi. Hivyo tamko la "mji wa mfalme" likawa sehemu ya jina la mji mara kadhaa. Waingereza kutoka miji mbalimbali iliyoitwa "Kingston" walipeleka jina hili kote duniani walipoanzisha miji katika koloni zao au kutoa majina mapya kwa miji ya koloni.

Jamaika[hariri | hariri chanzo]

Uingereza (Ufalme wa Muungano)[hariri | hariri chanzo]

Uingereza[hariri | hariri chanzo]

Uskoti[hariri | hariri chanzo]

Australia[hariri | hariri chanzo]

Kanada[hariri | hariri chanzo]

New Zealand[hariri | hariri chanzo]

Marekani[hariri | hariri chanzo]

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.