Kinde-Gbite

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kinde-Gbite ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wande na Wagbite. Idadi ya wasemaji wa Kinde-Gbite haijulikani. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kinde-Gbite iko katika kundi la Grassfields linalofanana na lugha za Kibantu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinde-Gbite kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.