Kimarkesa-Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kimarkesa ya Kusini ni lugha ya Kiaustronesia nchini Polinesia ya Kifaransa inayozungumzwa na Wamarkesa, hasa kwenye visiwa vya Hiva Oa, Tahuata na Fatu Hiva. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kimarkesa ya Kusini imehesabiwa kuwa watu 2700. Wamarkesa ya Kusini wengi wanatumia lugha ya Kitahiti badala ya lugha yao ya asili, yaani lugha ya Kimarkesa ya Kusini iko hatarini mwa kutoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimarkesa ya Kusini iko katika kundi la Kioseaniki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimarkesa-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.