Kiibuoro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiibuoro ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Waibuoro. Mwaka wa 1988 idadi ya wasemaji wa Kiibuoro imehesabiwa kuwa watu 5000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiibuoro iko katika kundi la Cross River.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiibuoro kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.