Kiibani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiibani ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Waibani. Mwaka wa 1989 idadi ya wasemaji wa Kiibani imehesabiwa kuwa watu 60,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiibani iko katika kundi la Kiijoidi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiibani kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.