Kigimi-Labogai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kigimi ni lugha ya Kivuka-Guinea Mpya nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wagimi. Isichanganywe na lugha nyingine iitwayo Kigimi, yaani Kigimi-Loko. Mwaka wa 1981 idadi ya wasemaji wa Kigimi imehesabiwa kuwa watu 22,500. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigimi iko katika kundi la Kigorokan.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigimi-Labogai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.