Kigamilaraay

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kigamilaraay ni lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia inayozungumzwa na Wagamilaraay katika majimbo ya Queensland na New South Wales. Katika sensa ya mwaka 2006, kulikuwa na wasemaji wa Kigamilaraay 35 tu, tena wote walichanganya lugha yao ya asili na Kiingereza. Kwa hiyo lugha kama lugha halisi imeshatoweka. Hata hivyo Kigamilaraay hufundishwa katika shule kadhaa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigamilaraay kiko katika kundi la Kiwiradhuriki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigamilaraay kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.