Kieyo
Mandhari
Kieyo ni mlima wa volkeno ulio kusini mwa Tanzania, katika mkoa wa Mbeya, kaskazini kwa ziwa Nyasa.
Mara ya mwisho volkeno hiyo ililipuka mwaka 1800.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kieyo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |