Kibangwinji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kibangwinji ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wabangwinji. Mwaka wa 1992 idadi ya wasemaji wa Kibangwinji imehesabiwa kuwa watu 6000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibangwinji iko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibangwinji kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.