Khuli Chana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Khulane Morule (alizaliwa Agosti 27, 1982), anajulikana zaidi kwa jina lake la sanaa Khuli Chana, ni rapa wa Motswako nchini Afrika Kusini.

Maisha ya awali na kazi[hariri | hariri chanzo]

Morule alizaliwa Mmabatho, Mkoa wa Kaskazini Magharibi na alianza kurap motswako akiwa na umri mdogo. [1] Alikuwa mwanachama wa kikundi cha rap kiitwacho Morafe. [2] Kisha akaendelea kwenda peke yake, baada ya kikundi hicho cha rap kuvurugika [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Khuli Chana Archives". Trace TV. Iliwekwa mnamo 27 January 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "KHULI CHANA". News 24. 
  3. "Khuli Chana talks about his creative revolution". IOL SA. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Khuli Chana kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.