Nenda kwa yaliyomo

Khady Koita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Khady Koita

Khady Koita (alizaliwa nchini Senegal) ni mwandishi wa vitabu.

Alipata malezi ya bibi yake katika mkoa wa Thiès, alilazimishwa kukeketwa na baadaye kuolewa na binamu yake akiwa na umri mdogo.[1]. Hakuweza kusema chochote kutokana na utamaduni haukumruhusu kusema hapana."[2]. Mwaka mmoja baadaye, alilazimika kuhamia nchini Ufaransa, ambapo aliishi na binamu yake kwa kipindi cha miaka 16.

Alifanikiwa kupata mtoto wa kwanza akiwa na umri wa miaka kumi na sita. Miaka miwili baadaye, mumewe aliongeza mke wa pili .[3].Kutokana na kuteseka kwa vurugu za ndoa Khady aliweza kuondoka na mtoto wake</ref> Suffering from violence, Khady managed to flee with her children[2] na baadae akapatiwa talaka mwaka 1988.

Kuanzia mwaka 1996, Koita ameishi nchini Ubelgiji.[4].MBpo alishirikiana na kundi la kukomesha ukeketaji kwa wanawake nchini Ubelgiji na akawa mwenyekiti Palabre chama kinachosaidia wanawake nchini Senegal.[5]. mbali ya kuwa mwanaharakati dhidi ya kupinga ukeketaji na mwanaharakati wa haki za wanawake pia kuanzia mwaka 2002 amekuwa mwenyekiti wa Euronet MGF (Mtandao wa Ulaya wa kuzuia na kukomesha ukeketaji kwa wanawake).[3][6][7]

Vitabu alivyoandika

[hariri | hariri chanzo]

Alifanikiwa kuandika vitabu kadhaa.

Kitabu chake cha Kifaransa Mutilée kilichapishwa na OH Editions mwaka 2006. Toleo la lugha ya Kiingereza kilichoelezea Mtoto wa Afrika anavyohitaji haki za kibinadamu" Mwaka 2007, Koita alipewa tuzo ya BurgerschapsPrijs ya Ubelgiji P & V [nl].[4][5][3][8]

  1. Volet, Jean-Marie (Desemba 9, 2005). "Khady" (kwa Kifaransa). University of Western Australia.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. 1 2 Kovacs, Stéphane (Novemba 30, 2012). "Le cauchemar des femmes forcées au mariage". Le Figaro (kwa Kifaransa).{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. 1 2 3 Marsaud, Olivia (Machi 22, 2006). "Excision. Quand des femmes brisent le tabou" (kwa Kifaransa). Radio France internationale.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. 1 2 "Burgerschapsprijs 2007 - Kadhy Koita". foundationpv.be (kwa Kiholanzi). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (pdf) mnamo 2021-07-20. Iliwekwa mnamo 2021-07-20.
  5. 1 2 "Le combat de Khady Koita contre l'excision" (kwa Kifaransa). TV5 Monde. Aprili 3, 2013.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  6. "L'Académie de médecine part en guerre contre l'excision". Le Monde (kwa Kifaransa). Juni 10, 2004.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  7. Reding, Viviane (Machi 8, 2013). "Mutilations génitales féminines : tolérance zéro". Le Monde (kwa Kifaransa).{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  8. Kearney, Seamus (Machi 4, 2013). "J'ai une rage terrible de voir que la mutilation continue" (kwa Kifaransa). Euronews. Iliwekwa mnamo Oktoba 23, 2019.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Khady Koita kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.