Karim Baïteche
Mandhari
Karim Baïteche (alizaliwa 10 Julai 1991) ni mwanasoka wa Algeria ambaye anacheza kama kiungo katika klabu ya RC Kouba katika Ligi ya 2 nchini Algeria.[1]
Heshima
[hariri | hariri chanzo]Klabu USM Alger
- Mshindi KAtika Ligi Ya Algerian Ligue Professionnelle 1 (2): 2013-14, 2015-16 [2]
- Kombe la Algeria (1): 2013
- Kombe la Super la Algeria (1): 2013
- Kombe la Klabu ya UAFA (1): 2013
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Karim Baïteche". soccerway.com. Iliwekwa mnamo 8 Oktoba 2014.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Karim Baïteche". Soccerway. Iliwekwa mnamo 29 Juni 2015.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Viungo Vya Nje
[hariri | hariri chanzo]- Karim BaïtecheKatika DZFoot.com
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Karim Baïteche kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |