Kalmar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Barabara kuu katika Kalmar

Kalmar ni mji nchini Uswidi.Kuna wakazi 35,170 (mwaka 2005). Mji ulianzishwa 1100. Katika karne ya kati ilikuwa mji uliostawi kutokana na biashara kwenye Bahari Baltiki. Kalmar ilishirikiana na shirikisho la kibiashara la Hanse. Mwaka 1397 wawakilishi wa falme 3 za Skandinavia yaani Denmark, Norwei na Uswidi walikutana mjini na kupatana Umoja wa Kalmar uliowaunganisha kwa karne zijazo kisiasa.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 18.85 km². Iko kando ya Bahari ya Baltiki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kalmar kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.