Kadi ya sauti
Kadi ya sauti ni sehemu ya tarakilishi inayotoa sauti katika kipazasauti chake.
Kadi za sauti za kwanza ziliundwa mwaka wa 1981.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.