Kadi ya sauti
Jump to navigation
Jump to search
Kadi ya sauti ni sehemu ya tarakilishi inayotoa sauti katika kipazasauti chake.
Kadi za sauti za kwanza ziliundwa mwaka wa 1981.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.