Nenda kwa yaliyomo

Julius Kipyegon Kones

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Julius Kipyegon Kones (alizaliwa 1972) ni mwana-takwimu na mwanasiasa kutoka Kenya. Anahudumu kama mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi[1] katika shirika la kitaifa la uhifadhi wa maji na mabomba.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Chairman". www.watercorporation.go.ke (kwa Kiingereza (Uingereza)). Iliwekwa mnamo 2017-08-31.