Julius Kipyegon Kones
Mandhari
Julius Kipyegon Kones (alizaliwa 1972) ni mwana-takwimu na mwanasiasa kutoka Kenya. Anahudumu kama mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi[1] katika shirika la kitaifa la uhifadhi wa maji na mabomba.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Chairman". www.watercorporation.go.ke (kwa Kiingereza (Uingereza)). Iliwekwa mnamo 2017-08-31.
![]() | Makala hii kuhusu mwanasiasa huyo wa Kenya bado ni mbegu. Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |