Nenda kwa yaliyomo

Joshua Kutuny

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Joshua Serem Kutuny (alizaliwa 1978) ni mwanasiasa wa Kenya ambaye amekuwa mwanachama katika bunge la Taifa la Kenya katika jimbo la uchaguzi la Cherangany.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Members Of The 10th Parliament". Parliament of Kenya. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-07-01. Iliwekwa mnamo Juni 19, 2008.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)