Jore

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jole)
Jore
Jore-mbuga
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Coraciiformes (Ndege kama viogajivu)
Familia: Coraciidae (Ndege walio na mnasaba na viogajivu)
Jenasi: Eurystomus
Vieillot, 1816
Spishi: E. azureus G.R. Gray, 1861

E. glaucurus (Statius Müller, 1776)
E. gularis Vieillot, 1819
E. orientalis (Linnaeus, 1766)

Jore au jole ni ndege wa tropiki wa jenasi Eurystomus katika familia Coraciidae. Wanafanana na viogajivu wenye rangi sawasawa na hawa: kahawia, buluu na zambarau, lakini jore ni wadogo zaidi wenye domo pana na fupi zaidi. Hula wadudu ambao wanawakamata kutoka kitulio cha juu. Tago lao ni tundu mtini. Jike huyataga mayai 2-4.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]