Jipson Butukondolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jipson Butukondolo ni mtunzi, mwimbaji, na mburudishaji katika bendi ya Quartier Latin International. Bendi hiyo inatoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na ilianzishwa na inaongozwa na mwanamuziki wa Kongo Koffi Olomide. [1]kutoka 1998 hadi 2008.

Muhtasari[hariri | hariri chanzo]

Baadhi ya vibao ambavyo Butukondolo alishiriki, katika jukumu kuu, ni pamoja na Ba Lobiens na Biblia.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]