Jim Courter

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jim Courter

James Andrew Courter (amezaliwa 14 Oktoba 1941) ni mwanasiasa wa chama cha Republican mwanasheria na mfanyabiashara. Aliwakilisha sehemu za Kaskazini magharibi mwa New Jersey kwenye nyumba ya wawakilishi ya Marekani kuanzia mwaka 1979 hadi mwaka 1991. Mnamo mwaka 1989, alishindwa katika kugombea ugavana wa New Jersey.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jim Courter kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.