Jennifer Bash
Mandhari
| Jennifer Bash | |
|---|---|
| Jina la kuzaliwa | Jennifer Bash |
| Nchi | Tanzania |
| Kazi yake | Mjasiriamali wa kilimo |
| Ndoa | Innocent Bashungwa |
Jennifer Bash ni mwanamke mjasiriamali katika kilimo nchini Tanzania, mwanzilishi wa kampuni AKTZ Industries Ltd inayojihusisha na utengenezaji wa vyakula vyenye chapa ya Alaska Tanzania[1].
Kutokana na jitihada zake katika ujasiriamali, alifanikiwa kuzawadiwa tuzo na kampuni ya utangazaji ya Clouds Media Group mwaka 2016 kama mwanamke aliyefanikiwa katika biashara ya kilimo.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |