James Mpanza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

James Mpanza (alizaliwa 1889–1970) alikuwa kiongozi wa kambi ya maskwota huko Johannesburg, Afrika Kusini kuanzia katikati ya miaka ya 1940 hadi mwishoni mwa miaka ya 1960. Mnamo 1944 aliongoza uvamizi wa ardhi ambao ulisababisha kuanzishwa kwa Soweto ya kisasa. [1] Mpanza anajulikana kama 'baba wa Soweto'. [2]

marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. James Mpanza, SA History Online
  2. An Overview of Soweto, accessed Hune 2013