Ivan Bukenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ivan Bukenya
Ivan Bukenya

Ivan Bukenya (alizaliwa 1 Novemba 1991) ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Uganda. Bukenya amewahi kuzichezea FC Linkoping City, Erbil FC nchini Iraq, Kaizer Chiefs nchini Afrika Kusini na East Bengal FC nchini India

Marejeo[hariri | hariri chanzo]