Isabel Nkavadeka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Isabel Nkavadeka ni mwanasiasa wa Msumbiji, Yeye ni mwanachama wa FRELIMO na alichaguliwa kwa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji mnamo 1999 kutoka Jimbo la Cabo Delgado.[1] mwaka 2004, pia alikuwa mbunge wa Bunge la Afrika kutoka Msumbiji.[2] Mnamo 2005, alikuwa Waziri wa Maswala ya Bunge.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]