Imam Muslim

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Toleo la "Sahihi Muslim"

Muslim ibn al-Hajjaj (jina lake kamili lilikuwa: Abu al-Husayn ‘Asakir ad-Din Muslim ibn al-Hajjaj ibn Muslim ibn Ward ibn Kawshadh al-Qushayri an-Naysabūrī, lakini alijulikana zaidi kama Imam Muslim; 815 - 875)[1] anajulikana kwa mkusanyiko wake wa Hadithi za Mtume Muhammad unaokubaliwa kuwa mkusanyiko muhimu pamoja ule ya Al-Bukhari. Unajulikana kama Sahih Muslim[2].

Muslim alizaliwa Nishapur katika mkoa wa Khorasan, iliyopo katika Iran ya kaskazini-mashariki ya leo. Kufuatana na mapokeo alikuwa Mwajemi au Mwarabu[3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Abdul Mawjood, Salahuddin `Ali (2007). The Biography of Imam Muslim bin al-Hajjaj. translated by Abu Bakr Ibn Nasir. Riyadh: Darussalam. ISBN 9960988198.
  2. A.C. Brown, Jonathan (2014). Misquoting Muhammad: The Challenge and Choices of Interpreting the Prophet's Legacy. Oneworld Publications. p. 257. ISBN 978-1780744209. [...] the Sahihayn, the two authentic Hadith compilations of Bukhari and Muslim bin Hajjaj that Sunni Islam has long declared the most reliable books after the Qur'an.
  3. Frye, ed. by R.N. (1975). The Cambridge history of Iran (Repr. ed.). London: Cambridge U.P. p. 471. ISBN 978-0-521-20093-6.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

  1. Interactive diagram of teachers and students of Imam Muslim by Happy Books Archived 24 Septemba 2015 at the Wayback Machine.