Nenda kwa yaliyomo

Ifeoma Nwoye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ifeoma Nwoye (alizaliwa 1 Mei, 1993)[1] ni mpiganiaji wa ngumi za wanawake kutoka nchini Nigeria.

Nwoye alishiriki katika Michezo ya Madola mwaka 2010, ambapo alishinda medali ya dhahabu katika tukio la freestyle 51kg, na mwaka 2014 ambapo alishinda medali ya shaba katika tukio la freestyle 55kg.[2]

  1. "Glasgow 2014 - Ifeoma Nwoye Profile". g2014results.thecgf.com. Iliwekwa mnamo 26 Mei 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Wrestling: Women's Freestyle 55kg results". BBC Sport (kwa Kiingereza (Uingereza)). 31 Julai 2014. Iliwekwa mnamo 28 Mei 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ifeoma Nwoye kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.