Hu Jintao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hu Jintao

Hu Jintao (kwa Kichina: 胡锦涛; amezaliwa 21 Desemba 1942) ni mwanasiasa nchini Uchina na tangu mwaka 2003 amekuwa rais wa nchi hiyo.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hu Jintao kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.